Sunday 4 September 2016

Ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa kwenye kiwanda cha Karatasi cha Mufindi Iringa tarehe 01Semptemba,2016





Msimamizi mkuu wa shughuli  za maabara ya kiwanda akitoa ujumbe wake kwa wanawake

Picha ya mwisho ya pamoja baada ya kuangalia hatua mbalimbali za utengenezaji wa karatasi 

kiwandani

Mkuu wa Mkoa akipata maelezo ya upimaji wa uimara wa karatasi kutoka kwa Mtaalam wa Maabara ya Kiwanda Beatrice Kigoda


Mkuu wa Mkoa akijadiliana na Mtaalam wa Maabara Beatrice kuhusu utendani wa Kiwanda


Add caption

Mkuu wa Mkoa na timu yake wakishuka ngazi kutoka sehemu ya juu ya mtambo wa kukata magogo ya miti katika vipande vidogo .

Mtaalam wa Maabara Beatrice Kigoda akimtembeza Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa na timu yake kwenye maeneo mbalimbali ya Kiwanda

Mkuu wa Mkoa na timu yake ya wataalam wakielekea maeneo mbali mbali  ya Kiwanda.

Mkuu wa Mkoa akioneshwa aina mbalimbali za karatasi zinazotengenezwa na Kiwanda

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa akipata maelezo ya Kiwanda kutoka kwa Mtaalam wa Maabara Beatrice Kigoda

No comments:

Post a Comment