Sunday 18 September 2016

BRN - STAR RATING ASSESSMENT REPORT IN SONGWE REGION


Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe Godfrey Kawacha akipokea ripoti ya utafiti wa Matokeao Makuu Sasa katika sekta ya Afya kutoka kwa Mtafiti Dr. Aloyce F. Lengesia  kwenye ukumbi wa mkuu wa Mkoa Vwawa, Mbozi Songwe tarehe 09 Septemba, 2016

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dr. Lazaro akipokea nakala ya taarifa ya utafiti huo kutoka wa Dr.  Aloyce F. Lengesia
Dr. Lengesia akiwasilisha matokea ya utafiti kwa Sekretariet ya Mkoa wa Songwe

No comments:

Post a Comment