Wednesday 28 September 2016

MPANGO WA JUMLA WA MJI WA TUNDUMA 2015 - 2025

Timu ya Wataalam wa Halmashauri ya Mji wa Tunduma ikiwasilisha Mpango wa Jumla wa Mji wa Tunduma  kwa kipindi cha 2015 - 2026 mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa na Wataalam wake kwenye ukumbi wa mkuu wa Mkoa Vwawa tarehe 26 Septemba, 2016.

Mkuu wa Mkoa Chiku Gallawa na Wataalam wake wakisikiliza uwasilishaji wa mpango huo kutoka kwa Afisa Mipango Miji wa Tunduma Mutta D.P.B


Wataalam wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Halmashauri ya Mji wa Tunduma wakisikiliza  Maada hiyo.

 


No comments:

Post a Comment