Friday 9 December 2016

UZURI WA MKOA WA SONGWE

BAADHI YA VIVUTIO VYA UTALII MKOANI SONGWE


Kimondo cha Mbozi


ENEO LA MACHIMBO YA MARUMARU KATIKA KIJIJI CHA NANYARA, MBOZI







HIFADHI YA MAJI KATIKA ENEO LA MACHIMBO YA DHAHABU LA KAMPUNI YA SHANTA, SONGWE

 Bwawa la hifadhi ya maji linalotumika kuhifanyi viumbe ekolojia ya asili katika eneo la machimbo ya madini ya dhahabu la Shanta lililopo Mkwajuni Songwe.  bwawa hilo limekuwa likiokoa uhai wa wanyama kama Swala na viboko hasa wakati wa kiangazi ambapo upatikanaji wa maji unakuwa mdogo.

 Uvunaji wa Chumvi katika Bwawa la Itumbula, Ivuna wilaya ya Momba


 Eneo la udongo uliobaki baada ya shughuli za uchimbaji dhahamu katika mgodi wa Anglo American uliokuwa ukifanya kazi miaka ya 1920 Mkwajuni, Songwe

 Mabaki ya miundombinu ya mgodi wa Anglo American Mkwajuni

 Eneo ambalo alizaliwa Rais mstaafu wa Afrika Kusini De Clerk ambapo Baba yake alikuwa akifanya kazi katika kampuni ya machimbo ya Dhahabu ya Anglo American


 Mkuu wa Wilaya ya Momba Juma Irando  (kushoto) akisikiliza historia ya machimbo ya Dhahabu wakati wa kipindi cha Ukoloni kutoka kwa Kilongozi mkazi wa Mkwajuni.

 Bwawa la maji lililojengwa na Kampuni ya uchimbaji Dhahabu ya Shanta linalotumika kama akiba ya maji hasa wakati wa kiangazi.

 Picha hiyo imepigwa kutoka kwenye mwinuko unaotumika kungalia eneo kubwa la mji wa Itumba, Ileje

 Unyayo juu ya Mwamba unaosadikika kuwa ulikuwa wa mtu wa kale katika kijiji cha Nkangamo Wilaya ya Momba

 Jengo la kanisa la Roman Catholic lenye miaka zaidi ya 100 katika Kijiji cha Mkulwe, Momba

 Tanuru la kutenganishia chuma na udongo baada ya kuchoma katika kijiji cha Kapele, Momba. Chuma  kilitumika kutengenezea zana mbalimbali kama silaha, kulimia na matumizi ya nyumbani


Pango (Pango la Popo) katika kijiji cha Nanyara, Mbozi 


Nyumba iiyobaki kati ya nyumba zilizotumika kama makazi ya wafanyakazi wa Migodi ya Wakoloni Mkwajuni.


Mwonekano wa bonde la ufa kutokea kijiji cha Isalalo, Mbozi

 Nyumba ndogo zinazotumika kwa ajili ya matambiko katika eneo la Mkwajuni, Wilaya ya Songwe

 Maporomoko ya maji ya Bwenda, katika Wilaya ya Ileje

 Mji wa Tunduma



 Michoro kwenye mwamba ambayo inasadikika ilichorwa na Watu wa Kale miaka 3, 000 iliyopita katika kijiji cha Nkangamo, Momba

 Maporomoko ya maji katika mto wa  Momba, kijiji cha Mfuto, Momba.

 Maporomoko ya Maji katika Mto Momba, Mfuto, Momba

 Msitu wa Katengele, Ileje

 Nyumba aliyokuwa akilala Hayati Baba wa Taifa Rais Mwl Julius Kambarage Nyerere wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika mwaka Mkwajuni, Momba.

Daraja la kuning'inia la Kamsamba, Momba wakati wa Kiangazi

Daraja la kuning'inia la Kamsamba, Momba wakati wa Masika


No comments:

Post a Comment