Friday 23 December 2016

MKUU WA WILAYA AKIFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO KATIKA KATA YA NGWALA TAREHE 20 DISEMBA, 2016

Mkuu wa wa Wilaya akiongea na Wananchi wa Kata ya Ngwala kuhusu umuhimu wa Jeshi la Mgambo.


Kwata ya kufuzu mafunzo ya Mgambo katika Kata ya Ngwala

KIJIJI CHA NGWALA CHAPATA JESHI LA AKIBA

Na Sia Kisamo

Mkuu wa Wilaya ya Songwe alifunga mafunzo ya mgambo katika Kata ya Ngwala iliyopo katika wilaya ya Songwe.
akifunga mafunzo hayo Mkuu wa wilaya alimwagiza Mkurugenzi wa Wilaya kuwa Vijana hao wakumbukwe katika mkopo wa Vijana na Wanawake ili washiriki katika shughuli za maendeleo pia aliwaagiza wenyeviti wa Vijiji kulitumia jeshi hilo la akiba katika shughuli za Maendeleao, Ulinzi na usalama wa Wananchi na Mali zao.

No comments:

Post a Comment