![]() |
Balozi wa Malawi nchini Tanzania Hawa Ndilowe akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa katika Ofisi za Mkuu wa Mkoa zilizopo Vwawa, Mbozi, Songwe tarehe 28 Septemba, 2016. |
![]() |
Balozi Hawa Ndilowe akiandika katika kitabu cha Wageni Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa Chiku Gallawa. |
![]() |
Mkuu wa Mkoa Chiku Gallawa akitoa taarifa ya Mkoa wa Songwe kwa Balozi Hawa Ndilowe |