Tuesday 1 November 2016

MAAADHIMISHO YA SIKU YA USAFI KIMKOA YALIYOFANYIKA KATIKA WILAYA YA SONGWE, SONGWE

Wakuu wa Wilaya, Wataalam, na Wananchi mbalimbali katika wakigana vifaa vya kufanyia usafi uliofanyika Mkwajuni, katika wilaya ya Songwe tarehe 29 Oktoba, 2916,

Katibu Tawala wa Wilaya ya Songwe Johari Samizi akitoa mwongozo wa  ratiba ya usafi


Wakuu wa Wilaya, John Palingo wa Mbozi, Joseph Mkude Ileje,  Juma Irando  wa Momba na  Samwel Jeremiah wa Songwe wakijadiliana namna ya kufanya usafi.


Wananchi wakifanya usafi katika mitaa ya mji wa Mkwajuni

Mkurugenzi Mtendaji wa  Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Elias Nawera akihutubia Wananchi kwenye mkutano wa Majumuisho baada ya kufanya usafi

Wananchi wakisikiliza kwa makini ujumbe wa mkutano wa huo ambao ulijikita katika kujenga tabia ya usafi kuwa tabia ya kila mwananchi wa Mkoa wa Songwe kuanzia Majumbani mpaka maeneo  ya kufanyika shughuli mbalimbali. pia ilisisitizwa umhuhimu wa kutunza vyanzo vya maji na kupanda miti ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Wadau wa Shanta Mining Co. Ltd wakishiriki katika mkutano huo


Waheshimiwa Madiwani wa Wilaya ya Songwe wakiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri wa Wilaya baada ya kujitambulisha wakati wa Mkutano.

KAMPUNI YA UCHIMBAJI WA MADINI YA DHAHABU YA SHANTA IMETOA  VIFAA VYA MICHEZO VYA MPIRA WA MIGUU KWA TIMU YA MKOA  YA KIMONDO.

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Joha Palingo akikabidhiwa vifaa vya michezo na Meneja wa Kampuni ya uchimbaji wa Madini ya Shanta Scott  Yelland. 

Aidha, Shata Mining Co. Ltd walitoa walitoa sare jozi Nne, Track suit nane kwa ajili ya walinda mlango,  Mipira minne , Socks na Gloves.



No comments:

Post a Comment