Monday 7 November 2016

ZIARA YA BALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI VICTORIA MWAKASEGE ALIPOTEMBELEA WILAYA YA ILEJE

Balozi wa Tanzania nchini Malawi,Victoria Mwakasege, akizungumza na baadhi ya  viongozi wa Wilaya ya  Ileje wakati wa ziara yake ya kukagua mpaka kati ya Isongole Ileje- Tanzania naMbilima Chitipa- Malawi. 

  Mkuu wa Wilaya ya Chitipa,Grace Chirwa akizungumza na baadhi ya watendaji wa Tanzania na Malawi wakati wa ziara ya kukagua mipaka. 


Balozi wa Tanzania nchini Malawi,Victoria Mwakasege, akiwa na watendaji wa wa nchi zote mbili katika mpaka wa Tanzania na Malawi. 



Mkuu wa kituo cha polisi cha Itumba -Ileje mkoani Songwe(kulia) Afande ASP Slivanus Mnubi akibadilishana mawasiliano na Mkuu wa Kituo cha polisi cha Chitipa-Malawi(kushoto) SOP Gray Chimphepo ikiwa ni sehemu ya kuthibiti uharifu mpakani.

No comments:

Post a Comment