Tuesday 25 October 2016

KIKAO KAZI CHA KAMATI ZA MITIHINANI ZA HALMASHAURI ZA WILAYA MKOA WA SONGWE

Kikao cha kazi  cha Kamati Za Mitihani  Mkoa wa Songwe kuhusu Maandalizi, Mapokezi, Ugawaji na Usimamizi wa mitihani  ya kidato cha nne kilichofanyika tarehe 25 Oktoba, 2016 kwenye Ukumbi wa  Halmashauri ya  Wilaya ya Mbozi,  Songwe. 

Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe Eliya M. Ntandu akitoa maelekezo kwa wanasemina. Katibu Tawala aliwasisitiza washiriki wa kikao umuhimu wa Uadilifu, Uaminifu, Ushirikiano katika zoezi zima la Mitihani.







Washiriki wakisikiliza kwa umakini


No comments:

Post a Comment