Mkuu wa Wilaya ya Songwe Samwel Jeremiah akitoa zawadi kwa wafafunzi waliofanya vizuri katika matokeo ya kidatu cha Tatu kuingia cha Nne. |
Mkuu wa Wilaya katika picha ya pamoja na wanfunzi waliofanya vizuri katika matokeo ya kidato cha nne mwaka jana kuingia kidato cha tano,
wanafunzi hao waliahidiwa na mkuu wa Wialya kupatiwa shilingi elfu hamsini kila mmoja kama motisha na kuwafanya waendelee kufanya vizuri katika masomo yao
|
Mkuu Wilaya katika picha ya pamoja na wanafunzi waliofanya vizuri katika matokeo ya kidato cha tatu kungia kidato cha nne wa shule ya sekondari Ifwenkenya |
Mkuu wa wilaya katika picha ya pamoja na walimu wa shule ya sekondari Ifwenkenya |
Mkuu wa wilaya katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi ya elimu kata ya Ifwenkenya |
No comments:
Post a Comment