Mkuu wa Wilaya ya Songwe Samwel Jeremiah alitembelea mradi wa
wafugaji nyuki katika kitongoji cha Njira Kata ya Mbangala
Mkuu wa Wilaya hiyo alizungumza na kikundi hicho chenye wanachama 30 na Mizinga iliyofungwa mpaka sasa ni 150. Aidha Mkuu wa Wilaya aliwaahidi kuwapatia Mabati 32 ili kumalizia banda la pili la kufugia
nyuki ambalo hapo awali aliwapatia mbao. Vileville aliwasisitiza
wafugaji hao kuhakikisha wanajiunga na mfuko CHF kwa ili kuwa na
uhakika wa matibabu ya afya zao.
No comments:
Post a Comment