Friday 10 March 2017

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KATIKA WILAYA YA SONGWE







Kikundi cha Utamaduni cha akina  Mama kikitoa burudani

Mkuu wa Wilaya ya Songwe ashindwa kuvumilia ajumuika na umati kuselebuka


Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani Wilayani Songwe  Machi 8, 2017.

Na Sia Kisamo: Afisa Utamaduni Songwe


Maadhimisho hayo yalifanyika katika kata ya Kanga Wilayani Songwe. Mgeni rasmi katika maazimisho hayo alikua Mkuu wa Wilaya ya Songwe Samwel Jeremiah, katika maazimisho hayo Mkuu wa Wilaya  alisisitiza usawa na haki ambazo binadamu yeyote anapaswa kupewa, pia alisema kaulimbiu katika maadhimisho hayo ni "Tanzania ya viwanda, wanawake ni misingi ya mabadiliko ya kiuchumi" kauli mbiu hiyo ipo kwa sababu serikali inaona umuhimu wa wanawake katika shughuli za kiuchumi,hivyo katika kufanya kazi fursa sawa zitolewe kwa wanawake na wanaume kwa sababu ndiyo msingi wa maendeleo nchini. 





No comments:

Post a Comment