Sunday 19 February 2017

Mkuu wa Wilaya ya Ileje akutana na Machifu wa Ileje


Mkuu wa wilaya ya Ileje Joseph Mkude akiwa na baadhi ya machifu wa wilaya hiyo baada ya kufanya nao kikao katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa wilaya Ileje. mh Joseph Mkude akiwa na chifu wa kabila la Walambya lililopo wilayani humo.

Mkuu wa Wilaya akiwa na Chifu wa Kabila la Walambya

Chifu wa Walambya Sisimbe Shalala Mwampashi kutoka kijiji cha Mlale Wilayani Ileje

No comments:

Post a Comment