![]()  | 
Mkuu wa Mkoa wa Songwe akifanya usafi katika eneo la Kilimanjaro Tunduma tarehe 28 Agosti, 2016 | 
![]()  | 
Wananchi wakitanya usafi katika eneo la kata ya Majengo | 
![]()  | 
Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakishirikiana na wananchi kufanya usafi katika eneo la Kituo cha Mabasi kikuu kilichopo katika kata ya Majengo | 
![]()  | 
Mkuu wa Wilaya ya Ileje Joseph Modest Mkude (mwenye kofia) akiongea na wanachi baada ya kufanya usafi katika eneo la gulio la Iboya lililopo katika kata ya Majengo | 
![]()  | 
Afisa Tarafa ya Tunuduma Edward Lugongo akiongea na Wananchi | 
![]()  | 
Shughuli za usafi zikiendelea katika eneo la kata ya Tunduma | 
![]()  | 
Mkuu wa Mkoa akipata maelekezo ya usafi wa mji wa Tunduma kutoka kwa Mtendaji wa Kata ya Tunduma Mohamed Kaguo | 











No comments:
Post a Comment