Sunday 28 August 2016

SIKU YA USAFI MKOA WA SONGWE TUNDUMA TAREHE 27 AGOSTI, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Songwe akifanya usafi katika eneo la Kilimanjaro Tunduma tarehe 28 Agosti, 2016


Wananchi wakitanya usafi katika eneo la kata ya Majengo

Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakishirikiana  na wananchi kufanya usafi katika eneo la Kituo cha Mabasi kikuu kilichopo  katika kata ya Majengo



Mkuu wa Wilaya ya Ileje Joseph Modest Mkude (mwenye kofia) akiongea na wanachi baada ya kufanya usafi katika eneo la gulio la Iboya lililopo katika kata ya Majengo


Afisa Tarafa ya Tunuduma Edward Lugongo akiongea na Wananchi

Shughuli za usafi zikiendelea katika eneo la kata ya Tunduma


Mkuu wa Mkoa akipata maelekezo ya usafi wa mji wa Tunduma kutoka kwa Mtendaji wa Kata ya Tunduma Mohamed Kaguo

No comments:

Post a Comment