Sunday 28 August 2016

Siku ya usafi katika Mkoa wa Songwe iliyanyika Tunduma tarehe 27 Agosti,2016


Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa akihamasisha wananchi umuhimu wa kuweka mji wa Tunduma katika hali ya usafi. alisema " Tunduma ni sehemu ya mapokezi ya wageni kutoka nchi mbalimbal hivyo panatakiwa kuwa pasafi muda wote"

Akizungumza na wananchi wa eneo la Kisimani








aliongeza kuwa, yatafanyika majadiliano na wafanyabiashara wa kubadilisha fedha mikononi ili kurasimisha  biashara hiyo na kufanyika katika sehemu itakayotengwa na Halmashauri ya Mji kwa ajili ya usalama.




Baadhi ya viongozi na wananchi wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa kwa umakini

No comments:

Post a Comment