Sunday 28 August 2016

KIKAO CHA KAZI NA WATAALAM MKOA WA SONGWE TAREHE 26 AGOSTI,2016

Mkuu wa  Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa akimkabidhi Ipad Afisa TEHEMA  wa wilaya ya Momba Alfred Simpoli  baada ya kikao cha kazi kilichohusu namna ya kuwakomboa vijana kiuchumi  katika Mkoa wa Songwe.



Mkuu wa  Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa akimkabidhi Ipad Afisa Utamaduni wa wilaya ya Songwe Sia  baada ya kikao cha kazi. 


No comments:

Post a Comment