Wednesday 27 July 2016

 

MKUU WA MKOA CHIKU GALLAWA AKABIDHIWA MADAWATI NA BANKI YA AZANIA


Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa akikabidhiwa madawati 50 na Meneja wa Tawi la Benki ya Azania Tunduma,  Baraka Ubuguyu.

Meneja wa Benki ya Azania Tawi la Tunduma Baraka Ubuguyu akisoma taarifa ya huduma za Kibenki na Misaada ya Jamii kwa Mkuu wa Mkoa.


No comments:

Post a Comment